Psalms 95:6-8


6 aNjooni, tusujudu, tumwabudu,
tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu,
7 bkwa maana yeye ndiye Mungu wetu,
na sisi ni watu wa malisho yake,
kondoo chini ya utunzaji wake.

Kama mkiisikia sauti yake leo,
8 cmsiifanye mioyo yenu migumu
kama mlivyofanya kule Meriba,
Meriba maana yake ni Kugombana.

kama mlivyofanya siku ile
kule Masa
Masa maana yake ni Kujaribiwa.
jangwani,
Copyright information for SwhNEN